Tetesi: Jerry Muro kufungiwa kujihusisha na soka kwa miezi 8.

Odili

JF-Expert Member
Feb 8, 2015
1,764
1,378
Wana-jf habari zenu?
Kufuatia mzozo kati ya katibu wa tff mr. Mwesigwa na msemaji wa yanga mr. Muro, kuna tetesi zimevuja kuwa tff imeamua kuikomoa yanga kwa kumfungia Muro kuanzia kesho mara baada ya kikao hewa cha kamati ya maadili ya tff.

Ikumbukwe tayari Muro kashatumiwa barua jana ya kuitwa tff iliyojaa lugha ya kibabe na vitisho na inasemekana hata kwenye kikao cha kesho ni mbinu tu ya kwenda kumbamiza Muro.

Malinzi na vilabu vya mpira waache uhasama wataua soka.
Malinzi pia aache ukupe, kashashindwa kuiongoza tff.

Source: mdau ndani ya tff.

==================
UPDATES:

Hatimaye ile kesi iliyokua ikimkabili Muro ambaye ni msemaji wa Yanga, imetupiliwa mbali na kamati ya maadili ya tff kwa kuwa barua ya vitisho aliyoandikiwa Muro ilikua na mapungufu.

Safi sana Manji. Mwaka huu mpaka malinzi anye rungu.
 
Wana-jf habari zenu?
Kufuatia mzozo kati ya katibu wa tff mr. Mwesigwa na msemaji wa yanga mr. Muro, kuna tetesi zimevuja kuwa tff imeamua kuikomoa yanga kwa kumfungia Muro kuanzia kesho mara baada ya kikao hewa cha kamati ya maadili ya tff.

Ikumbukwe tayari Muro kashatumiwa barua jana ya kuitwa tff iliyojaa lugha ya kibabe na vitisho na inasemekana hata kwenye kikao cha kesho ni mbinu tu ya kwenda kumbamiza Muro.

Malinzi na vilabu vya mpira waache uhasama wataua soka.
Malinzi pia aache ukupe, kashashindwa kuiongoza tff.

Source: mdau ndani ya tff.

ametuaibisha wabongo huyo jamaa haijawah tokea kabla acha wamfungie tu kama vipi
 
ametuaibisha wabongo huyo jamaa haijawah tokea kabla acha wamfungie tu kama vipi
Mkuu, ndiyo maana nimesema tff ya malinzi na vilabu vya mpira waache uhasama wataua soka. Wote yanga na tff wana makosa. Sioni aliye msafi hapo. Wote wale wale.
 
Mkuu, ndiyo maana nimesema tff ya malinzi na vilabu vya mpira waache uhasama wataua soka. Wote yanga na tff wana makosa. Sioni aliye msafi hapo. Wote wale wale.

wote wana makosa tff ilikuwa wap muda wote had anataka kujipangia siku ya game wote wana makosa
 
Mimi siwapendi TFF lakini huyu jamaa ni too much imagine hii issue ingekuwa nchi za mbele. Huyu jamaa anavuka mipaka au anatumiwa ila TFF ni lazima wampe ban ili iwe ni funzo sio sababu Manji yuko nyuma yako basi ndio ujifanye unaendesha mpira wewe. Leo anasema kama vitisho TFF waniombe radhi! This is too much
 
[Kama TE="runyaga, post: 16714027, member: 190901"]Ni lazima mdogo amuheshim mkubwa[/QUOTE]

Kama kubwa halijiheshimu naanzaje kuliheshimu
 
Wa kimataifa wana point zero kwenye league ya Kimataifa na Msemaji wao wa Kimataifa hahah
 
mtu akikaid amri atafungiwa tuu maana hakuna namna afungiwe tuuu,,anajiona yy ni mkubwa kuliko TFF, eti yanga ni kubwa kuliko caf,,hv huyu jamaa ni mzma kweli,,tatizo la yanga wanajifanyaga wapo juu ya sheria na TFF iliwabeba sana ,,waswahili wanasema ukizoeana sana na mbwa ipo siku atakufuata mpaka msikitini,,
 
Back
Top Bottom