Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,198
- 6,416
Habari wadau wa JF international forum.
Kwa tetesi ambazo naamini zitageuka kweli ni kuwa licha ya uchaguzi kuahirishwa hadi 30/12 ni kuwa huenda usifanyike kabisa.
Chanzo changu cha uhakika kimenijuza kuwa uchaguzi uliahirishwa makusudi kuwachokoza wapinzani wafanye fujo ili hali ya hatari itangazwe na uchaguzi kutofanyika kabisa.
Chanzo hicho nyeti kimedai baada ya wapinzani kuafiki kuahirishwa huko bila fujo, Kabila amekasirika sana na anapanga jambo jingine ili kuwakera kabla ya tarehe hii mpya ya uchaguzi.
Lengo kuu la Kabila ni kuibua tafrani kupitia wapinzani na aahirishe uchaguzi moja kwa moja na Congo kutawaliwa kwa sheria za hali ya hatari huku akiendelea kubaki ikulu ya Kinshasa.
Kwa tetesi ambazo naamini zitageuka kweli ni kuwa licha ya uchaguzi kuahirishwa hadi 30/12 ni kuwa huenda usifanyike kabisa.
Chanzo changu cha uhakika kimenijuza kuwa uchaguzi uliahirishwa makusudi kuwachokoza wapinzani wafanye fujo ili hali ya hatari itangazwe na uchaguzi kutofanyika kabisa.
Chanzo hicho nyeti kimedai baada ya wapinzani kuafiki kuahirishwa huko bila fujo, Kabila amekasirika sana na anapanga jambo jingine ili kuwakera kabla ya tarehe hii mpya ya uchaguzi.
Lengo kuu la Kabila ni kuibua tafrani kupitia wapinzani na aahirishe uchaguzi moja kwa moja na Congo kutawaliwa kwa sheria za hali ya hatari huku akiendelea kubaki ikulu ya Kinshasa.