Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Wakuu,hizi taarifa ni za kweli?:Kwamba wabunge wetu wa Chadema wameziktaa sh milioni 90 walizopangiwa kuchukua ili kila mmoja anunue gari.Wabunge wamefikia hatua hiyo ili kuonesha uzalendo walionao kwa Taifa ,kwamba hawawezi kuchukua kitita hicho ili hali ya uchumi wa nchi yetu ni mbofu mbofu.
Kwa mjibu wa taaarifa hizo ni kuwa wabunge hao wanataka angalau wapate sh milioni 40 au 50 kila mmoja na zilizobaki zitumike kwenye maendeleo ya elimi,afya nk
nimefuraishwa na hatua hiyo ya wabunge wa CHADEMA,ni wazalendo sana tofauti na wenzao wa CCM waliokwisha chukua fedha zao
Wakuu hizi ni tetesi nimezisikia mitaani mimi mwenyeewe wapenzi wa chadema wakifurahia hatua hiyo
Kwa mjibu wa taaarifa hizo ni kuwa wabunge hao wanataka angalau wapate sh milioni 40 au 50 kila mmoja na zilizobaki zitumike kwenye maendeleo ya elimi,afya nk
nimefuraishwa na hatua hiyo ya wabunge wa CHADEMA,ni wazalendo sana tofauti na wenzao wa CCM waliokwisha chukua fedha zao
Wakuu hizi ni tetesi nimezisikia mitaani mimi mwenyeewe wapenzi wa chadema wakifurahia hatua hiyo