KIMICHIO
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 1,179
- 80
Tatizo la waingereza ni wabishi na unazi usio na maana sababu ukiwaambia hawajui mpira na ligi yao ni dhaifu ukifananisha na ligi za wengine europe ambazo hawajazi mamluki ya kununua west africa wanakuwa wabishi kweli sasa ilo limejidhihirisha na imesaidia sana kupunguza kelele humu mijini kwetu maana tusingelala kwa makelele siku ile.