Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna uwezekano mkubwa kuwa ni ya kweli..Wanajamvi,
Kuna tetesi kuwa baada ya viwango wa ufaulu kushushwa mpaka kufikia division five, sasa Tanzania inaongoza duniani kwa uhafifu wa viwango vya ufaulu. Jee taarifa hii ina ukweli kiasi gani?
Wanajamvi,
Kuna tetesi kuwa baada ya viwango wa ufaulu kushushwa mpaka kufikia division five, sasa Tanzania inaongoza duniani kwa uhafifu wa viwango vya ufaulu. Jee taarifa hii ina ukweli kiasi gani?
elimu ya tanzania bwana .. ni ya kumwachia mungu.....ndo anaejuaa nakumbuka enzi zile na nasoma kuna wazili alifuta degree accounts,akafuta somo la booking na commerce,agriculture halafu somo la chemistry na physics aliunganisha pamoja likaitwa pc...wale watu waliokuwa secondary miaka ya 2005 mtakumbuka kipindi hikoo na mlikuwa chuo kikuu mtakumbuka degree ya accounts ilivyofutwaa....
!
!
kwani watanzania sie ni mahiri katika lipi la maana?