nmepata habar kua jana tbc kupitia taarifa yake ya habari ya saa 2 usiku walitoa tamko la kuomba msamaha kwa waumini wa dini ya kiislamu ili kuwapa moyo wa kuwafanya wakubali kuhesabiwa.je ni kweli? mwenye taarifa za kina anijuze tafadhali.
nmepata habar kua jana tbc kupitia taarifa yake ya habari ya saa 2 usiku walitoa tamko la kuomba msamaha kwa waumini wa dini ya kiislamu ili kuwapa moyo wa kuwafanya wakubali kuhesabiwa.je ni kweli? mwenye taarifa za kina anijuze tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.