masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,167
Du...mimi nilikuwa na mchepuko wangu mitaa fulani ghorofani huko.Wakuu hili tetemeko limepita Huku Ubungo mkoa wa Dar es Salaam. Vipi huko kwenu?
Earthquake M6.1 - 3.495 miles of Field Patch - Tanzania by BMKG (2020-08-12 17:13:13 UTC)
--
Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro
Nikajihisi kama nasukumwa sukumwa ili kunichomoa kwenye shughuli yangu nyeti.
Mtu simwoni!!
Basi nkasema we , pepo ushindwe, ushindwe mara mtikisiko ukakoma!