- Thread starter
- #41
Mnahamasishana kuleta tetemeko bila kibali? Niwakute kituoni na hilo tetemeko lenu.Niko safarini Geita nako limepita.
Mnahamasishana kuleta tetemeko bila kibali? Niwakute kituoni na hilo tetemeko lenu.Niko safarini Geita nako limepita.
AiseeeConspiracy theory ,mna matatizo ya kisaikolojia
Hakunaga kitu tetemeko la ardhi sijawahi shuhudia mbn kama vile story ya vibwengo
Hahah zamu yao sasa.Wanaume wa mikoani ,hata tetemeko mnaona ni breaking news
Nimeliskia piaKahama hapa saa sita na dakika kadhaa limepita pia
hiConspiracy theory ,mna matatizo ya kisaikolojia
Hakunaga kitu tetemeko la ardhi sijawahi shuhudia mbn kama vile story ya vibwengo
Du! Masumbwe home, ngoje kupambazuke nitwange simuMasumbwe
M4.6
M 4.6 - 31km NE of Masumbwe, Tanzania
Wamarekani tayari wameli document..epicenter ya tetemeko wakiandika kuwa limeanzia Masumbwe, Kahama.
Mimi hadi muda huu sijalala, niko mwenyewe magetoni nikadhani ni popobawa kaamua kutimba tena kitaa.
Nimevaa mapensi mawili ya jeans kukishield kumbe tetemeko ngoja nivue sasa.