Engineer Mohamed
JF-Expert Member
- Jul 27, 2007
- 452
- 7
nipo naangalia runinga ITV naona kuna TETEMEKO la ardhi huko china.
naamini kwa uwezo wake mola,watanzania wenzetu wote kwa ujumla wako salama.
najaribu kumtafuta mdau mmoja wa JF aliyeko huko china atupe news zaidi.
naamini kwa uwezo wake mola,watanzania wenzetu wote kwa ujumla wako salama.
najaribu kumtafuta mdau mmoja wa JF aliyeko huko china atupe news zaidi.