Sembeta jr
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 805
- 366
wana cc kuna group wamebet kwamba hakuna gari inaweza kutoka dar to moro kwa saa moja na nusu traffic included na kutoa moro to dom kwa masaa matatu traffic included.
So mi nimewambia naweza naweza kwenda dar to moro chini ya lisaa limoja na nusu na moro dom chini ya hayo masaa matatu, kwa hyo ndo nipo hapa najiandaa kutoka kituo cha kuanzia ni hapa njia panda ya chuo kikuu na ntakua namtu pembeni kwa ajili ya kupost updates.
So kama kuna mwana cc angependa kujumuika na mimi ktk kuweka record anakaribishwa na wale wazee wa kubet kama kawa safari itaanza dk 15 zijazo.
Ee mungu nisaidie
So mi nimewambia naweza naweza kwenda dar to moro chini ya lisaa limoja na nusu na moro dom chini ya hayo masaa matatu, kwa hyo ndo nipo hapa najiandaa kutoka kituo cha kuanzia ni hapa njia panda ya chuo kikuu na ntakua namtu pembeni kwa ajili ya kupost updates.
So kama kuna mwana cc angependa kujumuika na mimi ktk kuweka record anakaribishwa na wale wazee wa kubet kama kawa safari itaanza dk 15 zijazo.
Ee mungu nisaidie