Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Baada ya kusoma ripoti ya kamati ya Kitchen Party ya kuchunguza kifo cha Daudi Mwangosi nimebadili msimamo wangu wa jinsi nilivyokuwa namkubali sana Mhariri huyu wa gazeti lenye heshima ya mgongo wa chupa la Mwananchi.
Pia mtazamo wangu dhidi ya gazeti hili kuwa ni objective umebadilika pia, Mwanahabari mwandamizi kama Makunga kushiriki kuandika ripoti nyepesi kama ile, yenye kila viashiria vya elimu ya Ngumbalu kwa walioshiriki kuiandika ni kujidhalilisha na kujivunjia heshima. Nchimbi kakutumia kujisafisha na kulisafisha jeshi lake lakini aliyepoteza credibility ni wewe.
Sijui tatizo ilikuwa ni posho ya ushiriki wa kazi za tume lakini hii report ni nyepesi mno, no wonder jaji Ihema alishindwa kuandika hukumu wakati jaji.
Pia mtazamo wangu dhidi ya gazeti hili kuwa ni objective umebadilika pia, Mwanahabari mwandamizi kama Makunga kushiriki kuandika ripoti nyepesi kama ile, yenye kila viashiria vya elimu ya Ngumbalu kwa walioshiriki kuiandika ni kujidhalilisha na kujivunjia heshima. Nchimbi kakutumia kujisafisha na kulisafisha jeshi lake lakini aliyepoteza credibility ni wewe.
Sijui tatizo ilikuwa ni posho ya ushiriki wa kazi za tume lakini hii report ni nyepesi mno, no wonder jaji Ihema alishindwa kuandika hukumu wakati jaji.