Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,486
- 1,861
Duh, inauma na kusikitisha mno jinsi utajiri wa Afrika ulivyotajirisha na kuendelea kutajirisha wasio waafrika!Kuna clip moja inatembea, jamaa wa Barrick wanasema wanavyoinyonya Tanzania hata wenyewe wanaona aibu. Lakini vyote wamepewa ki halali na wanasiasa.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app