Tengeneza tovuti ya mchungaji paulo fadhili

Fadhili Paulo

JF-Expert Member
Sep 1, 2011
3,211
988
Habari zenu wanajamvi!.

Jamani mwenzenu nataka nianze kumhubiri Mungu hata kwenye mtandao, kwa kufanya hivyo kwanza naanzisha website/tovuti yangu. Kama kawaida Mchungaji nimekuja hapa kupata msaada wenu wanajamvi, Lengo langu ni mawazo yenu ili kufanikisha jambo hili mhimu kwangu na jamii kwa ujumla. Ikiwa kweli mtanisaidia basi lazima chini niandike majina ya wanajamvi watakaoshiriki kama sehemu ya kuthamini michango yenu ambayo ni ya kimawazo zaidi. Mnaonaje tovuti moja itengenezwe kutokana na mawazo ya watu zaidi ya mtu mmoja? kwa hakika itakuwa bora.

Okay, Sijuwi lolote kuhusu code, najuwa kidogo kuhusu artisteer, kwahiyo nitatumia artisteer kutengeneza template kwanza itakwayokuwa wordpress based cms.

Mbali na kuwahubiria neno la mwisho yaani upendo humo katika web hiyo, pia mimi nina studio ya kurekodia mziki wa injili kwahiyo nimeona niitafutie ukurasa pia katika web ili kusaidia waimbaji wanaohitaji kurekodi single za album kwa bei nafuu.

Tutaenda kwa hatua. Hatua ya kwanza naomba ushauri wenu kuhusu Column, mpaka sasa ipo katika single column, naomba ushauri wako kwa uzoefu au utaalamu wako ungependa ziwe ngapi na je ni Widgets,pages, au blocks zipi unashauri ziwekwe kwenye hizo column utakazoshauri.

Tuanze na hilo. COLUMN
Natanguliza shukrani zangu.
 
mh artesteer sio for professionals, iko limited sana, unatengeneza kulingana software inavyotaka...
sio according to what u feel. sijaiona iyo site lakini si expect smthn extra ordinary
 
mh artesteer sio for professionals, iko limited sana, unatengeneza kulingana software inavyotaka...
sio according to what u feel. sijaiona iyo site lakini si expect smthn extra ordinary
Ubarikiwe mkuu, fanya uione, wewe unashauri ipi ambayo ni professional kwa ajili ya kutengenezea templates?.
 
nurbert hiyo demo content wanaweka maneno ya lugha ya kilatin :focus: fadhili paulo kama nilivyohisi itakuwa ya kawaida tu, nikwambie fanya marekebisho kidogo kwenye menu umeiweka juu kabisa, kwa hii layout, menu haitakiwi kukaa juu i mean top, pia kwenye header, haijakaa sawa na layout ya body, utaona hiyo picha ya microphone iko kulia kabisa, na logo imekaa kushoto kabisa, vilitakiwa viingie ndani ili vilingane na margin ya content, jambo la mwisho iyo subdomain haijakaa poa namanisha [nenolamwisho.artisteer.net] fanya utaratibu upate top level domain ndo inakuwa vizuri...ukihitaji wasiliana nami utapata kwa bei nafuu kabisa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu C6, leo nimehamisha zile menu zilizokuwa juu kwenda chini kidogo, iangalie sasa. Vipi kuhusu Columns? ibaki hivyo 1?. Domain unauza bei gani?
nurbert hiyo demo content wanaweka maneno ya lugha ya kilatin :focus: fadhili paulo kama nilivyohisi itakuwa ya kawaida tu, nikwambie fanya marekebisho kidogo kwenye menu umeiweka juu kabisa, kwa hii layout, menu haitakiwi kukaa juu i mean top, pia kwenye header, haijakaa sawa na layout ya body, utaona hiyo picha ya microphone iko kulia kabisa, na logo imekaa kushoto kabisa, vilitakiwa viingie ndani ili vilingane na margin ya content, jambo la mwisho iyo subdomain haijakaa poa namanisha [nenolamwisho.artisteer.net] fanya utaratibu upate top level domain ndo inakuwa vizuri...ukihitaji wasiliana nami utapata kwa bei nafuu kabisa
 
Mkuu C6, leo nimehamisha zile menu zilizokuwa juu kwenda chini kidogo, iangalie sasa. Vipi kuhusu Columns? ibaki hivyo 1?. Domain unauza bei gani?

imekaa poa sasa, ila unaweza weka vitu zaidi ionekane bomba zaidi
 
Back
Top Bottom