kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,562
- 2,628
mkuu me nasema pushup fulani hivi ukipiga mikono unakuwa unafanya kama unapiga skullcrushers hutengenezi alama ya kopa kwenye vidole unaiweka mikono kawaida tu ila ukitoka juu lazima vipepsi viguse chini je nzuri kwa triceps vp nikichanganya na diamond push upWakuu naomba mjue nachelewa mno kupata notification, yaani ili nione kama nina notification hua nikiwa nataka kuingia kwenye uzi wangu mwingine ndiyo naona kua kuna mtu amechangia.
Nikija kuangalia nakuta mtu aliniquote kabisa lakini sipati notification. Tutaendeleza libeneke hivi hivi mpaka JF wenyewe watakapotatua tatizo.