sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,129
Mkuu, vipi mazoezi ya jogging, mi nafanya sana
Ukilinganisha na kuingia gym.
Zamani nimeshinda sana gym mwili nikaujenga lakini baada ya kuacha nimenywea, hayo mazoezi yamenikatisha tamaa, ukiacha tu unasinyaa
Ukilinganisha na kuingia gym.
Zamani nimeshinda sana gym mwili nikaujenga lakini baada ya kuacha nimenywea, hayo mazoezi yamenikatisha tamaa, ukiacha tu unasinyaa