Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Ila kweli Tanzania hii kuna watu wanajiamini na kujiona waungu watu, la Tendwa la kusema akipata hela ataenda kuhakiki wanachama wa CCJ mikoani, mi limenikera, najiuliza ni kweli hawana helaaaa? au ndo mizengwe tu ili chama hiki kinachoogopwa na CCM kisisajiliwe? Halafu ndugu yangu Tendwa kitu serious unaongea kwa nyodoooo, hivi nani anakupa kujiamini kihivyo? Hao CCM wanaokulinda ipo siku yao watatoka madarakani na wewe utakuwa kenge tu mtaani.
Kama anasema rais alitania kusema takrima haikwepeki, tutegemee nini?