Makene
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,475
- 282
Kutokana na ufafanuzi wa justice Mihayo, majukumu ya registrer ni kuandika vyama na ku'audit kasma wanazopewa.
Hapewi mamlaka kisheria ya kuagiza vyama vya upinzani mambo ya kufanya, kama ilivyo kwa polisi hawana dhamana ya kuruhusu maandamano yafanyike au la.
Vinginevyo wanaingilia uhuru wa demokrasia na kukwamisha kukua kwa demokrasia ya vyama vingi nchini.
Hapewi mamlaka kisheria ya kuagiza vyama vya upinzani mambo ya kufanya, kama ilivyo kwa polisi hawana dhamana ya kuruhusu maandamano yafanyike au la.
Vinginevyo wanaingilia uhuru wa demokrasia na kukwamisha kukua kwa demokrasia ya vyama vingi nchini.