Tendwa hana mamlaka (kisheria) ya kufuta chama cha siasa

Makene

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
1,475
282
Kutokana na ufafanuzi wa justice Mihayo, majukumu ya registrer ni kuandika vyama na ku'audit kasma wanazopewa.

Hapewi mamlaka kisheria ya kuagiza vyama vya upinzani mambo ya kufanya, kama ilivyo kwa polisi hawana dhamana ya kuruhusu maandamano yafanyike au la.

Vinginevyo wanaingilia uhuru wa demokrasia na kukwamisha kukua kwa demokrasia ya vyama vingi nchini.
 
Nilikuwa naangalia kipindi cha this week in perspective ambapo nimegundua kuwa msajiri wa vya siasa hana mamlaka kisheria kufuta vya siasa.

Hii ni kwa mujibu wa Jaji Mihayo kuwa msajili anapewa majukumu mawili tu na sheria ambayo ni kusajiri vyama na kuvikagua juu ya matumizi ya ruzuku zinazotolewa na serikali.

Ndg. Mihayo anasema kuwa msajili anapiga mkwara wa kufuta vyama kwa sababu ya kuziba ombwe la kutokuwa na shughuli ya kufanya.
 
Kumbeee! Now we know, at least we can ask him why is he overlapping his position? Ndio kubaka demokrasia huko anakofanya..... I mean Arumeru East and recently that ataifuta CHADEMA.
 
Tendwa analijua hilo dhahiri!ila alifikiri watanzania wote bado ni mapimbi,baada ya kauli ile ya ukweli ilyojaa dharau kutoka kwa Mh Dr slaa tendwa aliingia mitini jumla,sikuwahi kumsikia tena,sasa hivi anajiuliza kama hawa ni watanzania wale aliokuwa anawaelewa au lah.
 
kayasema wapi haya jaji mihayo?

Kayasema katika kipindi cha This Week in Perspective cha tbccm. Kilikuwa bonge la kipindi. Very Oobjective.

Nadhani Simbeye atapigwa ban na tbc kuendesha hicho kipindi. Huyu jamaa ni very objective sidhani km anaweza kutumiwa na CCM. Binafsi hiki ndio kipindi pekee nachoangalia tbccm.

Ila sioni kipindi hiki kikiendelea kwa muda mrefu ujao. Kama leo jaji Mihayo alikuwa very critical of watawala wa CCM na hofu ya kupoteza madaraka, jambo ambalo linaminya ukuaji wa demokrasia hapa nchini.
 
Mkuu Mseto km jaji mihayo kasema hivyo, vyema. ni kipengele kipi huyu kilaza tendwa alikuwa anatumia kuitisha cdm kuwa ataifuta? after all i dont remember when last, i watched tbc.
 
Last edited by a moderator:
Kwani kuna chama kilichoogopa mkwara wake? Huyu jamaa anajiandikia histiria mbaya kwenye kubaka demokrasia kutokana na ulimbukeni wa madaraka aliyozawadiwa.
 
Tatizo la rules na guidelines za responsibilities mbali mbali za viongozi zina mambo ya vipengele. Unaweza kuta kuna kakipengele fulani kakipuuzi kabisa unaweza kabadilisha ama kukapindisha kuweza fanikisha azma hiyo.

Wasema in social science 'yes' na 'no' yote ni majibu sahihi.
 
Asante sana Jaji Mihayo, umetoa Tuition ya bure kwa TENDWA, NAPE, WASSIRA, MWIGULU, NCHIMBI NA SOFIA SIMBA na yule engineer fake Manyanya.
 
taratibu jamani; tendwa anayo mamlaka ya kukifuta chama cha siasa na ni mamlaka ya kisheria. Kitu ambacho hana (na sidhani kama angeweza kuwa nacho) ni kukifuta chama kiholela. Kwamba kachukia na walivyomjibu au hapendi siasa zao basi anakifuta; mamlaka hayo hana. Mamlaka ya kufuta chama yapo kwa mujibu wa sheria lakini kwa kanuni zilizowekwa. Tendwa anayo madaraka ya kukifuta chama cha siasa; lakini madaraka hayo yamewekewa uzio mkubwa kwa mabadiliko ya sheria ya mwaka 2009 ya yanamzuia Msajili kukifuta chama cha siasa kama uchaguzi mkuu utafanyika ndani ya miezi kumi na mbili. Ina maana hawezi kufuta chama cha siasa kama uchaguzi mkuu uko ndani ya miezi kumi na mbili. Na pia kuna masharti mengine.
 
Kumbeee! Now we know, at least we can ask him why is he overlapping his position? Ndio kubaka demokrasia huko anakofanya..... I mean Arumeru East and recently that ataifuta CHADEMA.

KUMBUKUMBU: Mwongozo wa spika!!!...Akasimama Mh. LUKUVI! Mwongozo wa Spika Mh Lukuvi! Akaitika Mh NDUGAI! .....Ndugu SPIKA Naomba Mheshimiwa MBUNGE afute Kauli yake kuwa Seikali inaBAKA Demokrasia. Kufuatana na Kamusi ya Kiswahili Mh Spika, Kubaka ni .........Akajibu Mh NDUGAI... Mh Mbuge futa neno KUBAKA .....Hivyo Bwwana Arushone angalia Mh LUKUVI asikusahihishe kwa kuwa hajui maana ya misemo na nahau za Kiswahili
 
taratibu jamani; tendwa anayo mamlaka ya kukifuta chama cha siasa na ni mamlaka ya kisheria. Kitu ambacho hana (na sidhani kama angeweza kuwa nacho) ni kukifuta chama kiholela. Kwamba kachukia na walivyomjibu au hapendi siasa zao basi anakifuta; mamlaka hayo hana. Mamlaka ya kufuta chama yapo kwa mujibu wa sheria lakini kwa kanuni zilizowekwa. Tendwa anayo madaraka ya kukifuta chama cha siasa; lakini madaraka hayo yamewekewa uzio mkubwa kwa mabadiliko ya sheria ya mwaka 2009 ya yanamzuia Msajili kukifuta chama cha siasa kama uchaguzi mkuu utafanyika ndani ya miezi kumi na mbili. Ina maana hawezi kufuta chama cha siasa kama uchaguzi mkuu uko ndani ya miezi kumi na mbili. Na pia kuna masharti mengine.

Msajili hana uwezo wa kufuta chama chochote anachoweza kukifanya ni kukifikisha chama usika mahakamani kwa kukosa sifa au kuvunja sheria za kuundwa/kusajiliwa kwake na inabidi aishawishi mahakama na ndiyo mahakama imkubalie kwa mujibu wa sheria kukifuta chama hicho kumbuka kwenye kesi ya TTP na PONA msajili alikwenda mahakamani kwanza na baada ya wahusika kushindwa kwa kushindwa kuitisha uchaguzi ndani ya vyama vyao mahakama ikarithia wakafutwa.
 
taratibu jamani; tendwa anayo mamlaka ya kukifuta chama cha siasa na ni mamlaka ya kisheria. Kitu ambacho hana (na sidhani kama angeweza kuwa nacho) ni kukifuta chama kiholela. Kwamba kachukia na walivyomjibu au hapendi siasa zao basi anakifuta; mamlaka hayo hana. Mamlaka ya kufuta chama yapo kwa mujibu wa sheria lakini kwa kanuni zilizowekwa. Tendwa anayo madaraka ya kukifuta chama cha siasa; lakini madaraka hayo yamewekewa uzio mkubwa kwa mabadiliko ya sheria ya mwaka 2009 ya yanamzuia Msajili kukifuta chama cha siasa kama uchaguzi mkuu utafanyika ndani ya miezi kumi na mbili. Ina maana hawezi kufuta chama cha siasa kama uchaguzi mkuu uko ndani ya miezi kumi na mbili. Na pia kuna masharti mengine.

Mkuu ukituwekea hizo kanuni tutakwenda sawa zaidi.
 
taratibu jamani; tendwa anayo mamlaka ya kukifuta chama cha siasa na ni mamlaka ya kisheria. Kitu ambacho hana (na sidhani kama angeweza kuwa nacho) ni kukifuta chama kiholela. Kwamba kachukia na walivyomjibu au hapendi siasa zao basi anakifuta; mamlaka hayo hana. Mamlaka ya kufuta chama yapo kwa mujibu wa sheria lakini kwa kanuni zilizowekwa. Tendwa anayo madaraka ya kukifuta chama cha siasa; lakini madaraka hayo yamewekewa uzio mkubwa kwa mabadiliko ya sheria ya mwaka 2009 ya yanamzuia Msajili kukifuta chama cha siasa kama uchaguzi mkuu utafanyika ndani ya miezi kumi na mbili. Ina maana hawezi kufuta chama cha siasa kama uchaguzi mkuu uko ndani ya miezi kumi na mbili. Na pia kuna masharti mengine.

Ni kweli Mwanakijiji,tatizo watu wanaleta ushabiki kwenye ukweli,jamani tujaribu kuwa serious katika mambo ya msingi.i salute 4u my brother.
 
Back
Top Bottom