Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,478
Sio lazima dhiki, mfano magonjwa,vifo,talaka,magomvi, hasira,chuki,ulevi,nk kwa uchache tuMikosi inapimwaje kama haiwezi kususisha dhiki?
Sio lazima dhiki, mfano magonjwa,vifo,talaka,magomvi, hasira,chuki,ulevi,nk kwa uchache tuMikosi inapimwaje kama haiwezi kususisha dhiki?
Unakula Block tu, unashindwaje kujipulizia hata air fresh ya sh 1500
Nachunguzaje sasa wkt kichwa cha chini kimewaka moto?
mamayeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.Kweli kabisa mkuu Tena this week nimeingiza ingizo jipya watoto wakali wanne ambao nime WA schedule Hadi mwezi wa Tano mwaka Huu.
# tushapima tayari.
Haujajua tu!Mwanaume kujiundergrade ni ujuha mkuu. Standard ziwepo kwa kweli.
SIO MKOSI TU PEKEE NA KIFO PIA MKUU,SIMAANISHI MAGONJWA HAPANA,MIKOSI MIZITO YA KUSABABISHA UMAUTI.Tendo la ngono linabeba bahati, mikosi na hata laana za watu unaolala nao usipokuwa makini unaumia.
“Kuna mwanamke/Mwanaume ukilala naye bahati zinakutembelea na Kuna mwingine, utajuta”
“Kuna watu wana laana za ukoo ukilala nae na wewe unazibeba mikosi inaanza”
“Kabla hujalifanya tafakari unafanya na nani, kwa ajili ya nini, matokeo yake ni yepi”
“Tena sana na ndio maana unakuta wale wenye wanawake/wanaume 9 mpaka 11 na kuendelea ukiwachunguza vizuri akili zao huwa lesi muda wote.”
Mkuu ungesoma comment niliyoquote kbla ndiyo ungeelewa.Haujajua tu!
Linapokuja suala la kumpenda mwanamke, lazima wazimu utawale.
Chongo kuliita kengeza na matege kuyaita fasheni, unaelewa maana yake nini?
Wewe unapenda cheupe dawa, mimi nikiona cheusi mangala nachanganyikiwa!
Kwenye kupenda hakuna formula na hiyo harufu ya kibeberu, wengine ndiyo huwaletea mzuka wakahonga na hela kusorolea!
Nani anawaeleza mfumo mzima wa kufanya mapenzi kuna "usafi"?
Na kinyume chake, nani aliyekwambia mfumo mzima wa kufanya mapenzi kuna uchafu?
Hisia zako tu ndiyo zitakufanya udindishe au ulegee!
Endeleeni kujipumbaza, kujifariji ama kupotoshana kwa mambo yaliyo na mkono wa Mungu yasiyohitaji utafiti.