Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,201
- 7,234
Nawasalimu kwa Jina la Jumhuri wakuu
Tendo la ndoa ,ili lifanyike vizuri na Kila mmoja aweze kufika kilele Cha Raha ni jukumu la Kila mmoja kuwa na utayari wa akili na mwili , Ikitokea mmoja wapo hajawa tayari kiakili bhac ni wazi ataulazimisha mwili tuu na matokeo yake ni kutomridhisha mwenza wake
Lakini pia swala la usafi ni muhimu sana kizingatiwa ili kuweza kuleta msisimuko na hamasa ya kushiriki
Kwa upande mwingine wanawake wamekua kama wasindikizaji kuanzia mwanzo wa tendo wao wanataka kuanzia kuandaliwa kiakili mpaka kimwili , ,najua wazii kutokana na nature imepekea kuwa hivyo lakini hiyo imewafanya wengi kuwa wavivu na hata kupelekea wanaume wengi kupungukiwa na hamasa ya kushiriki au kutoendelelea na tendo
Wanaume wengi baada ya mzunguko wa kwanza hamasa inapungua ama kuondoka kabisa kwakua ,wanawake wanajisahau au hawajui kujiweka katika mazingira ya kumhamasisha mwanaume kuendelea na tendo ,
Wapenzi na wanandoa Gawaneni majukumu muwapo kitandani
Tendo la ndoa ,ili lifanyike vizuri na Kila mmoja aweze kufika kilele Cha Raha ni jukumu la Kila mmoja kuwa na utayari wa akili na mwili , Ikitokea mmoja wapo hajawa tayari kiakili bhac ni wazi ataulazimisha mwili tuu na matokeo yake ni kutomridhisha mwenza wake
Lakini pia swala la usafi ni muhimu sana kizingatiwa ili kuweza kuleta msisimuko na hamasa ya kushiriki
Kwa upande mwingine wanawake wamekua kama wasindikizaji kuanzia mwanzo wa tendo wao wanataka kuanzia kuandaliwa kiakili mpaka kimwili , ,najua wazii kutokana na nature imepekea kuwa hivyo lakini hiyo imewafanya wengi kuwa wavivu na hata kupelekea wanaume wengi kupungukiwa na hamasa ya kushiriki au kutoendelelea na tendo
Wanaume wengi baada ya mzunguko wa kwanza hamasa inapungua ama kuondoka kabisa kwakua ,wanawake wanajisahau au hawajui kujiweka katika mazingira ya kumhamasisha mwanaume kuendelea na tendo ,
Wapenzi na wanandoa Gawaneni majukumu muwapo kitandani