Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 752
- 3,092
Mahakama ya mwanzo jijini Mbeya imevunja ndoa ya Angumbukwe Mwambongo na Mkewe iliyodumu tangu 1984, kutokana na Mume kuanza kumuomba Mkewe tendo la ndoa kinyume na maumbile siku chache baada ya Mume huyo kuanza tabia ya kutoka nje ya ndoa.
Wawili hao wana watoto 4 na wajukuu 12.
Wawili hao wana watoto 4 na wajukuu 12.