Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,646
- 35,979
Tunataka tuwekewe hadharani mchakato mzima wa upatikanaji wa vishkwambi vya sensa.
Kuna jambo hapa nimehisi.
Kuna jambo hapa nimehisi.
Kwani kuna Mtanzania katoa pesa ya mshahara wake kuvinunua mpaka Mimi visinihusu?Hivyo kishikwambi vinakuhusu Nini?
Utalalalamika Hadi lini? Yaani 100k ndo unakufanya hukose amani?Kwani kuna Mtanzania katoa pesa ya mshahara wake kuvinunua mpaka Mimi visinihusu?
Nakatwa kodi kwenye mshahara wangu karibu laki moja kila mwezi.
Ni kampuni gani zile kwanza zinaonekana ni low endNgojea kwanza tumalize Kugawana Chenji ili tununue Magari ya Kifahari na tukamalizie Mijengo yetu Mbweni tutakujibu.
Bei ya Kishkwambi Kimoja kwa mujibu wa Afisa Mmoja wa Sensa na Takwimu ni Shilingi Laki Tatu ( Tsh 300,000/= ) tu japo kwa Insiders wengine wanasema Bi. Chifu Tozo Kadanganywa kuwa kila Kimoja kimenunuliwa Shilingi Laki Tisa ( 900,000/= ) na Maisha yanaendelea.
Haijalishi mtu analipa kodi kiasi gani; ni haki yake kuhoji matumizi ya kodi, na ni wajibu wa serikali kufahamisha walipakodi matumizi ya kodi yao.Utalalalamika Hadi lini? Yaani 100k ndo unakufanya hukose amani?
Manina laki 9..? Mzigo laki mbili na 65 ingia alibaba kwa hizo specification zake... tena oda kuanzia 30..sasa kwa hao walioagiza laki mbili bei inaweza pungua..Ngojea kwanza tumalize Kugawana Chenji ili tununue Magari ya Kifahari na tukamalizie Mijengo yetu Mbweni tutakujibu.
Bei ya Kishkwambi Kimoja kwa mujibu wa Afisa Mmoja wa Sensa na Takwimu ni Shilingi Laki Tatu ( Tsh 300,000/= ) tu japo kwa Insiders wengine wanasema Bi. Chifu Tozo Kadanganywa kuwa kila Kimoja kimenunuliwa Shilingi Laki Tisa ( 900,000/= ) na Maisha yanaendelea.
Nasikia walinunua second hand wakaandika bei ya mpya. Mchezo ukawa umeishia hapo.Tunataka tuwekewe hadharani mchakato mzima wa upatikanaji wa vishkwambi vya sensa.
Kuna jambo hapa nimehisi.
Kile ni maalumu kwa ajili ya Kazi husika tuKusema ukweli binafsi ningetamani kujua kile kidude kimecost shilingi ngapi, maana hata kwa matumizi ya kawaida hakifai.
uweke na tender za mayanga con.Tunataka tuwekewe hadharani mchakato mzima wa upatikanaji wa vishkwambi vya sensa.
Kuna jambo hapa nimehisi.
Sawa muhimu watuonyeshe gharama za kile kitu kama ni chini ya 200K tutakubali ila juu ya hapo na kinatumika mara moja tu ni matumizi mabaya ya rasilimali.Kile ni maalumu kwa ajili ya Kazi husika tu
Huo msharala wako mimi nakatwa kodi karibia 800k kila mwezi kwenye biashara zanguKwani kuna Mtanzania katoa pesa ya mshahara wake kuvinunua mpaka Mimi visinihusu?
Nakatwa kodi kwenye mshahara wangu karibu laki moja kila mwezi.
AhahahahaSawa muhimu watuonyeshe gharama za kile kitu kama ni chini ya 200K tutakubali ila juu ya hapo na kinatumika mara moja tu ni matumizi mabaya ya rasilimali.