Temporary passport

Kumar

Senior Member
Dec 8, 2018
108
38
Habari zenu wakuu samahani naomba kuuliza upatikanaji wa pasi za dharura ukoje,ni vigezo vipi vinahitajika ili niweze kuipata,gharama ,na inachukua mda gani kuiprocess

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwe na cheti cha uraia kadi ya mpiga kura na wadhamini wawili barua ya mtendaji wa mtaa wako na picha za rangi au passport size kama hauna cheti cha urai uta hapa kwa mwana sheria pale pale Uhamiaji na taarifa zako pia zina jazwa kwa njia ya mtandao
 
Huwe na cheti cha uraia kadi ya mpiga kura na wadhamini wawili barua ya mtendaji wa mtaa wako na picha za rangi au passport size kama hauna cheti cha urai uta hapa kwa mwana sheria pale pale Uhamiaji na taarifa zako pia zina jazwa kwa njia ya mtandao
Na kama una vigezo tajwa hapo unaipata siku hiyo hiyo Gharama Elfu 30
 
Mmesahau kuumuuliza hiyo hati ya mda ya kusafiria anataka kwenda wapi maana unaweza kukuta anataka kwenda south Africa or India or china
 
Mkuu habari. Ulishafuatilia hili suala, kama ndio yanayohitajika ni kama yaliyoainishwa hapa awali au kuna jipya umekutana nalo. Na mimi ntahitaji nifuatilie karibuni. Natanguliza shukrani
Habari zenu wakuu samahani naomba kuuliza upatikanaji wa pasi za dharura ukoje,ni vigezo vipi vinahitajika ili niweze kuipata,gharama ,na inachukua mda gani kuiprocess

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii barua ya mtendaji inanitambulisha NIDA au popote nchini, Ikiwa barua ya mtendaji ni muhimu kiasi hicho kwanini wanapuuzwa na hawalipwi vizuri kama wabunge? sasa mtu akiwa gaidi akamtishia huyu mtendaji uhai wake na kumalzimisha amuandikie barua hiyo ili apewe passport au cheti cha uraia,serikali itakuwa imejikingaje na hili la raia fake? Na vipi akihongwa vizuri ili atoe barua hiyo kwa mtu asiye mtanzania na akafanya hivyo, huoni itakuwa ni tatizo la serikali kuwapa majukumu makubwa hawa watu halafu malipo yao kiduchu, au ndio wameambiwa wawe wazalendo tu, na huo uzalendo unaliwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom