kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
Mimi sio mkazi wa Temeke ila kutokana na shughuli zangu kuna wakati nashinda sana eneo hilo.katika utafiti wangu usio rasim nimegundua vijana wengi wa eneo hilo wanajihusisha na uzaji wa madawa ya kulevya(unga).
Mbaya zaidi vijana wengi wemeshaathirika na matumizi yake.wamechoka sana na kudhoofika miili.eneo ambalo linaoongoza kuwa na suppliers wengi ni mtaa wa wailes.naomba niongee jambo moja hapa hata kama litawakera wengine.
Ni hivi wauza unga wengi wa eneo hilo ni vijana wa kipemba,zaramo na wandengereko (wazawa) hata watumiaji pia. Asilimia kubwa ni vijana wa jamii hizo hizo.
Sijapata jibu kwanini inakuwa hivyo.serikali ipo wapi!!?
Wadau vijana wenzetu wanaangamia Temeke mtaa Wailes.
Mbaya zaidi vijana wengi wemeshaathirika na matumizi yake.wamechoka sana na kudhoofika miili.eneo ambalo linaoongoza kuwa na suppliers wengi ni mtaa wa wailes.naomba niongee jambo moja hapa hata kama litawakera wengine.
Ni hivi wauza unga wengi wa eneo hilo ni vijana wa kipemba,zaramo na wandengereko (wazawa) hata watumiaji pia. Asilimia kubwa ni vijana wa jamii hizo hizo.
Sijapata jibu kwanini inakuwa hivyo.serikali ipo wapi!!?
Wadau vijana wenzetu wanaangamia Temeke mtaa Wailes.