ZINDAGI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 1,117
- 1,424
Sasa hivi Temeke ndio imekua sehemu ya kutupia magari mbovu.
Garage na scrapper kila mtaa, mitaa yote imeharibika.
Sasa hivi Temeke ndio imekua sehemu ya kupaki malori makubwa na size ya kati, hawa madereva kwa sababu hawaishi maeneo haya, bawaonyeshi kujali hata kidogo
_ Mwenye kumwaga Oil barabarani
_ Mwenye kutengengeneza matairi
_ Mwenye kushusha na kupakia mizigo
Yoote tisa kumi, haya malori yanaoakia zaidi ya tani 30, hivuo barabara zimeharibiwa na wao hawajali
Imefika wakati sasa, hili nalo lipatiwe dawa, Temeke irudi ktk hali yake kama zamani.
Garage na scrapper kila mtaa, mitaa yote imeharibika.
Sasa hivi Temeke ndio imekua sehemu ya kupaki malori makubwa na size ya kati, hawa madereva kwa sababu hawaishi maeneo haya, bawaonyeshi kujali hata kidogo
_ Mwenye kumwaga Oil barabarani
_ Mwenye kutengengeneza matairi
_ Mwenye kushusha na kupakia mizigo
Yoote tisa kumi, haya malori yanaoakia zaidi ya tani 30, hivuo barabara zimeharibiwa na wao hawajali
Imefika wakati sasa, hili nalo lipatiwe dawa, Temeke irudi ktk hali yake kama zamani.