witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,098
Amalize??ngoja nicheke tuHuyu jamaa amalize aende zake
Amalize??ngoja nicheke tuHuyu jamaa amalize aende zake
Hiki ndicho kitakacho tokeaWanachomaanisha ni kuwa wamepandisha gharama za hizi shughuli.Yaani kama MC alikuwa analipwa TZS 25,000/= akienda kweye shughuli ya mnyonge kama vile kipaimara sasa itabidi alipwe TZS 75,000/= ili yeye aweke mfukoni 25,000/= na 50,000/= alipie kodi.Tafsiri yake ni kwamba wanyonge hawataweza kuwafanyia wapendwa wao sherehe tena!
Hebu oneni jamaniNi sawa kabisa! Unakuta sherehe kwa mfano ya harusi au sendoff watu mnachangishwa kila kichwa elfu hamsini mpaka laki moja,!
Unakuta sherehe moja tu ina gharimu mpaka milioni 10.
Unakuta kwenye bajeti ya sherehe eti
Mapambo milion 1.5
Ukumbi milion 1.2
Mc na music milioni 1.8
Picha na video milioni 1.6
Vinywaji milioni 1.7
Chakuala milion 4
Na hizi ni sherehe tu za uswahilini bado za ushuani ndio balaa
Unakuta mtu ana maisha magumu lakini akipewa kadi ya mchango anajipinda mpaka ipatikane, tena wanakuwekea masharti kabisa single 80,000 double 150,000.
Tena hili suala lilialamikiwa sana humu kwama ifike hatua hawa watu walipe kodi.
Walipe tu kodi aisee.
Dunia inakwenda Kasi Sana Bado kidogo tutaambiwa ukijifungua mtoto unamlipia Kodi
Hatari sana
Litapita bila kelele mkuu. Kama watanzania walipokwa haki yao ya kuchagua kiongozi wanaye mtaka na wakakaa kimya, sembuse hili la tozo ya birthday??!ili swala likipita bila makash kash sasa ndio mtaamini watanzania kama kondoo
... hujamweka MC, mpishi, DJ, mapambo, caterer, wala hujakodi ukumbi means hujafanya biashara so kimsingi kodi haipo.Hii sasa kali. Migambo itakuwa inachungulia madirishani kujua kama ndani kuna sherehe au la!!!!.
Ila katika ufafanuzi mwenye sherehe hajaguswa. Je nikifanya bila kumwalika MC, mpishi nitadakwaje?
... nina kashughuli kangu ambako MC amekubali kunifanyia bei ya kishikaji elfu 25. Lakini anatakiwa alipie elfu 50 kodi. Kodi itakuwa imelipw na mimi mwenye shughuli au MC?Sherehe zatakiwa kulipiwa kodi au Mc na wapishi wa masherehe watakiwa kulipa kodi?
Kwa WanaChadema tuuWakuu mimi sijaelewa, hiyo kodi ni Wapinzani tu au hadi sisi tuliomtukana Lissu kipindi cha kampeni?!
uwiWaanzishe Kodi ya Msambwanda,kila Dada mwenye Msambwanda akitoka nje tuu Kodi inamuhusu.
Kwani unapoajiriwa ukalipwa chini ya kiwango cha mshahara kinachotakiwa kulipiwa kodi huwa tofauti analipa mwajiri?... nina kashughuli kangu ambako MC amekubali kunifanyia bei ya kishikaji elfu 25. Lakini anatakiwa alipie elfu 50 kodi. Kodi itakuwa imelipw na mimi mwenye shughuli au MC?
Itabidi kukaa na mishale ndani ya nyumba. Nimealika ndugu zangu nyumbani kwa dinner ya kumpongeza mwanangu kupata kipaimara, nione dodoki linachungulia dirishani, mshale wa shingo. Hawa ndio vibaka wenyewe!Hii sasa kali. Migambo itakuwa inachungulia madirishani kujua kama ndani kuna sherehe au la!!!!.
Ila katika ufafanuzi mwenye sherehe hajaguswa. Je nikifanya bila kumwalika MC, mpishi nitadakwaje?