COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Mara baada ya OPERATION TOKOMEZA MAJANGIRI kusitishwa; Tembo wapatao 60 wameteketezwa na majangili katika kipindi hiki mpaka leo hii: SOURCE: TBC-Taarifa ya habari usiku huu:
MY TAKE:
Majangili yamejionyesha kuwa na Nguvu kuliko SERIKALI NZIMA na BUNGE ZIMA. Tukiendekeza SIASA za majitaka Tanzania itabakia historia kuwa tulisha wahi kuwa na wanyama waitwao TEMBO.
Makosa yaliyofanya na askari yasisababishe Tembo wetu waishe kijinga namna hivyo. OPERATION TOKOMEZA ianze haraka iwezekanavyo, na wewe Rais J.M.Kikwete hebu Gangamaa nawewe Tembo wanaisha, wakati Tumekupa majeshi yote yawe chini yako; kinachokushinda ninini?
MY TAKE:
Majangili yamejionyesha kuwa na Nguvu kuliko SERIKALI NZIMA na BUNGE ZIMA. Tukiendekeza SIASA za majitaka Tanzania itabakia historia kuwa tulisha wahi kuwa na wanyama waitwao TEMBO.
Makosa yaliyofanya na askari yasisababishe Tembo wetu waishe kijinga namna hivyo. OPERATION TOKOMEZA ianze haraka iwezekanavyo, na wewe Rais J.M.Kikwete hebu Gangamaa nawewe Tembo wanaisha, wakati Tumekupa majeshi yote yawe chini yako; kinachokushinda ninini?