Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,920
- 8,609
natumia jf ya freebasic lakini tabu nnayoipata hadi nakasirika kweli vya bure havifai
Na hio ndio Gharama ya Bure
natumia jf ya freebasic lakini tabu nnayoipata hadi nakasirika kweli vya bure havifai
Yaani vya bure ndo hivyo gharama ipo ila siyo hela inachukua mda sana kufunguka na huwezi ona video km uwezo wa mb unao we weka tumimi kila nikijaribu naona inagoma
Hivi hilo jukwaa lipo kweli?lipo wapi na maudhui gani yapo humo? ,nimesikia si mara ya kwanzaNataka kujiunga jukwaa la wakubwa bwana nyie
Jamii forum ipo hata bila ya ku add sema kwa mara ya kwanza huwa inazinguaIla unaweza enda kwenye huduma zaidi ukaandika jamii forums ikija fanya ku,add na uingie km hiyo ask.com
Freebasics kuna muda inakubali attachments?Tunao tumia freebasics tukutane hapa, tutoe maoni kuhusu freebasics inavo kufuraisha Na kukuhuzunisha