''Tema mate tumchape'' Yanga, Jumamosi 25 February 2017

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,185
103,694
''Yanga Afilika'' ikiwa bado ina kumbukumbu za ''kupukuchuliwa'' goli 5 katika Kombe la Mapinduzi imekuwa na bahati mbaya tena wiki hii siku ya Jumamosi ambapo itakutana na kiboko yao Simba Taifa Kubwa.
Yanga ambayo katika maandalizi yake ya jumamosi imekuwa ikipoteza mda mwingi kuwajadili Ajibu, Mavugo na Juma Luzio huku kwa tabu itafuta uchochoro wa kuuvuka ukuta wa Mwajale, Bukungu, Shabalala, Kotei na Agjei

Kwa sasa sina mengi zaidi ya kuwatakia kipigo chema Yanga siku ya jumamosi, na kuwasihi Simba wapunguze hasira kwani wenzetu hawa wapo kwenye kipindi kigumu kutokana na majibu ya Vipimo vya Mkemia Mkuu
15941123_704665796359105_6884515816021030663_n.jpg
 

Attachments

  • 15941123_704665796359105_6884515816021030663_n.jpg
    15941123_704665796359105_6884515816021030663_n.jpg
    61.3 KB · Views: 56
Hii tarehe ya mechi inanikumbusha jezi ya okwi(25)nikitoa mbili hiyo tank inanikumbusha kipigo cha 5-0..chochote kinaweza kutokea namba hazidaganyi!!
 
Hahahhaaaahh... Vyura wanatetemekaa tuu!! Afee beki afee kipa Ndala lazma apigwe tyu hakuna namna...
 
Tv za uwanjani ziwe Live maana sina imani na mikono ya Tambwe kwakweli.Yule jamaa anamikono ya ajabu sana.Kule Tanga hakuonwa, Taifa nako refa kasema hajaona.Hii si sawa kwa mtu huyohuyo tu.
 
Back
Top Bottom