OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,185
- 103,694
''Yanga Afilika'' ikiwa bado ina kumbukumbu za ''kupukuchuliwa'' goli 5 katika Kombe la Mapinduzi imekuwa na bahati mbaya tena wiki hii siku ya Jumamosi ambapo itakutana na kiboko yao Simba Taifa Kubwa.
Yanga ambayo katika maandalizi yake ya jumamosi imekuwa ikipoteza mda mwingi kuwajadili Ajibu, Mavugo na Juma Luzio huku kwa tabu itafuta uchochoro wa kuuvuka ukuta wa Mwajale, Bukungu, Shabalala, Kotei na Agjei
Kwa sasa sina mengi zaidi ya kuwatakia kipigo chema Yanga siku ya jumamosi, na kuwasihi Simba wapunguze hasira kwani wenzetu hawa wapo kwenye kipindi kigumu kutokana na majibu ya Vipimo vya Mkemia Mkuu
Yanga ambayo katika maandalizi yake ya jumamosi imekuwa ikipoteza mda mwingi kuwajadili Ajibu, Mavugo na Juma Luzio huku kwa tabu itafuta uchochoro wa kuuvuka ukuta wa Mwajale, Bukungu, Shabalala, Kotei na Agjei
Kwa sasa sina mengi zaidi ya kuwatakia kipigo chema Yanga siku ya jumamosi, na kuwasihi Simba wapunguze hasira kwani wenzetu hawa wapo kwenye kipindi kigumu kutokana na majibu ya Vipimo vya Mkemia Mkuu