Kilongwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 423
- 115
Ni mara nyingi mtu huwa anahitaji kufanya configration kwenye Router au Switch remotely,kuna njia kadhaa za kufanya hivi,njia kubwa ambazo zinatumia ni Telenet na SSH,hivyo tupate deep understanding juu ya hili..
Angalia attachment,nimeambatanisha pdf ambayo nimeiandaa toka vyanzo tofauti ili kuweza kupata ufahamu kidogo juu ya hili,
kama attachment haionekani au inasumbua basi unaweza kuipata kwenye original post HAPA
kwa mada za ICT tembelea www.afroit.com
Angalia attachment,nimeambatanisha pdf ambayo nimeiandaa toka vyanzo tofauti ili kuweza kupata ufahamu kidogo juu ya hili,
kama attachment haionekani au inasumbua basi unaweza kuipata kwenye original post HAPA
kwa mada za ICT tembelea www.afroit.com