Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Hana zuri lolote. Ana roho mbayaaaa tena ya uharibifu kila anachogusa KINAENDA KOMBO, Amebaki kupoteza tu roho zisizo na HATIAHapa tunazungumzia mazuri yake ,kuhusu hayo mabaya hatuyakatai ila anzisha uzi wako ili sisi tunaopenda mazuri yake yusije huko kwa mnaowazia mabaya yake