ni kweli, kwa mfano walicover vizuri mabomu ya mbagala. Kibiashara kuna advantage zaidi kwetu ! Huitaji kuwa naSometimes huwa wanaonesha kama kuna suala serious, huku kwetu daily lazima habari zao ziwepo! Hasa ITV...
Daaaah ! Hii atameza kweli !Mbona itv huwa wanajiunga na bbc au skynews hushangai kenya wametuzidi mbali kimaendeleo ni kama kuonesha habari za ulaya tu kaka.