Television ya Taifa,TBC, Imetisha!. Yarusha Live Mbili Kwa Wakati Mmoja! Live ya Dodoma on TBC1 At the Same Time Live ya Arusha TBC2- Safari Channel

Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.

Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.

Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.

Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.

Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.

Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
View attachment 1969159
Hilo dubwana, lione tuu kwa nje kama lori tuu, humo ndani shughuli yake sio mchezo!.
View attachment 1969177

Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.

Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.

TBC Baba Lao.

Paskali
Kuna wakati Pasco alikuwa akitaka hii nafas ya Ryoba. Naona kila ukijaribu kila mahali teuzi zinabuma. Umeanza kumsifia sasa. If you can't defeat them join them!
 
Mama mama!
Mama
Mama huyooo!
Mama!Mama mama huyooo mama mama huyooo mama.
Hamna hata aibu, hizo chuki zenu zitawamaliza, ndege nazo mnasema mama wakati zimeandikwa Hapa kazi tu, hizi mitambo na uboreshwaji wa TBC alifanya JPM lakini leo watu wanasema tofauti...hehe
 
Kuna wakati Pasco alikuwa akitaka hii nafas ya Ryoba. Naona kila ukijaribu kila mahali teuzi zinabuma. Umeanza kumsifia sasa. If you can't defeat them join them!
Mimi Paskali Mayalla ni mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, sijawahi kutaka nafasi yoyote, wala sijawahi kutafuta uteuzi wowote.

Tafuta Ikama ya TBC, uangalie mshahara wa DG wa TBC, halafu Kama una mtu unamjua TRA, mwambie akuangalizie Tin Number ya mtu aitwae Pascal Andrew Mayalla, analipa kodi kiasi gani, kisha linganisha na ule mshahara!. Ukipata majibu, naomba yafanye ni siri yako!.
P
 
Mimi Paskali Mayalla ni mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, sijawahi kutaka nafasi yoyote, wala sijawahi kutafuta uteuzi wowote.

Tafuta Ikama ya TBC, uangalie mshahara wa DG wa TBC, halafu Kama una mtu unamjua TRA, mwambie akuangalizie Tin Number ya mtu aitwae Pascal Andrew Mayalla, analipa kodi kiasi gani, kisha linganisha na ule mshahara!. Ukipata majibu, naomba yafanye ni siri yako!.
P
Mkuu Paschal mambo yameanza kukaa sawa baada ya biashara ya habari kufa miaka mitano iliyopita sio?
 
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.

Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.

Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.

Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.

Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.

Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
View attachment 1969159
Hilo dubwana, lione tuu kwa nje kama lori tuu, humo ndani shughuli yake sio mchezo!.
View attachment 1969177

Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.

Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.

TBC Baba Lao.

Paskali
Ila Mami unapenda sifa wewe! Haki ya nani siyo kwa sifa hizo!!
 
Huo muda wa kuangalia tbccm wakati kila kisimbusi kina zaidi ya chanl mia mnaupata wapi?
 
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.

Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.

Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.

Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.

Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.

Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
View attachment 1969159
Hilo dubwana, lione tuu kwa nje kama lori tuu, humo ndani shughuli yake sio mchezo!.
View attachment 1969177

Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.

Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.

TBC Baba Lao.

Paskali
Sioni kama TBC ina maajabu sana maana hata huo uwekezaji inategemea zaidi luzuku kuliko mapato yake ya ndani.
Habari zake nyingi ni propaganda zaidi kuliko kuhabarisha kwa uwiano kutoka nyanja zote za kijamii, kiuchumi, etc
Kwa watazamaji na dili wako nyuma Sana ukilinganisha na mashirika mengine vya habari
 
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.

Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.

Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.

Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.

Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.

Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
View attachment 1969159
Hilo dubwana, lione tuu kwa nje kama lori tuu, humo ndani shughuli yake sio mchezo!.
View attachment 1969177

Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.

Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.

TBC Baba Lao.

Paskali

Mkuu Pascal Mayalla

Kasi ya SASHA ni 🔥🔥🔥
 
Hakuna Cha ajabu hapo hasa kwa wakati huu wa sasa technology. Inadevelop kila Leo hiyo live hata milladi ayo anaweza fanya hivyo..
Ili kituo chochote kiweze kurusha live mbili simultaneously, lazima kituo hicho kiwe na Channel zaidi ya moja. Kwa Tanzania, Kituo cha TV, cha FTA, chenye Channel zaidi ya moja ni TBC pekee. Azam TV ni cable kama ilivyo DSTV. ITV pia wanazo Channel 3, yaani ITV, EATV na Capital TV, lakini ITV haijawahigi kumiliki OB Van hata moja.
Kutangaza live mbili sio jambo dogo.
P
 
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.

Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.

Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.

Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.

Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.

Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
View attachment 1969159
Hilo dubwana, lione tuu kwa nje kama lori tuu, humo ndani shughuli yake sio mchezo!.
View attachment 1969177

Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.

Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.

TBC Baba Lao.

Paskali
Hongera kwa TBC ila wajitahidi kwenye camera wasitumie simu
 
Back
Top Bottom