Television ya Taifa,TBC, Imetisha!. Yarusha Live Mbili Kwa Wakati Mmoja! Live ya Dodoma on TBC1 At the Same Time Live ya Arusha TBC2- Safari Channel

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,466
113,548
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.

Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.

Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.

Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.

Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.

Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
1233948_OB_VAN_MPYA_YA_TBC.jpg

Hilo dubwana, lione tuu kwa nje kama lori tuu, humo ndani shughuli yake sio mchezo!.
1633773854918.png


Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.

Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.

TBC Baba Lao.

Paskali
 
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.

Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.

Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.

Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.

P
Hakuna Cha ajabu hapo hasa kwa wakati huu wa sasa technology. Inadevelop kila Leo hiyo live hata milladi ayo anaweza fanya hivyo..
 
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.

Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.

Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.

Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.

P
Ikusanye na Familia yako muangalie vizuri hiyo TBCCM,

Naona teuzi zimebuma umegeukia kwa Ayoub anaweza akakupa hata ujumbe,kazana kusifia tuu.
 
Washauri safari channel watafte ama kutengeneza documentary mpya, kila siku ni kisiwa cha Rubondo tuuu.

Waambie warekodi zile zinaonyeshwa NG Wild halafu watafsiri ama waingize sauti kwa juu kuliko kila siku ni makala zile zile.

Ama hata waweke za sauti ya kizungu hakuna shida.

Mimi ni mpenzi wa makala za wanyama nimeona nitoe maoni yangu.
 
Wanaonyesha nini hadi ziwe live multichoice nao watasemaje wanavyoonyesha live mipira km tano kwa wakati mmoja
DSTV sio TV ya FTA, DSTV ni Cable TV kama ilivyo Azam TV ni Cable TV. Hapa Bongo Tanzania, tuna FTA TV na pia tuna Cable. TBC ni FTA, jee umeisha wahi kuona live mbili za kituo kimoja kingine chochote cha FTA, mimi ndio nimeona leo.
P
 
Back
Top Bottom