fr3
Senior Member
- Oct 17, 2012
- 103
- 17
Habari zenu wana jf, Mimi ninamfanyakazi wa ndani au (mdada wa nyumbani) ninapokua sipo nyumbani namwachia uhuru, ivyo anaacheki move atakavyo tatizo ni pale anapoangalia move za kuhuzunisha(story) analia sana,naikitokea nimefika na kugonga mlango,anajikuta akipiga yowe(uwiiiiiiiiiiiii) naombeni ushauri nimsaidieje.