mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,160
- 22,615
Weka tuone hyo hatariNi hatari mkuu
Weka tuone hyo hatariNi hatari mkuu
alles gut na Deutsch mkuuNi group moja tu nilijiunga mengine nimeunganishwa but ndio interest yangu. Mleta uzi afafanue vizuri
Wamejiunga wenyeweHapana si kweli Telegram haipo hivyo unaunganishwa katika hayo makundi kutokana na makundi uliyotafuta. Inakupa unachotaka
Si uyafute?Ni hivi nimedownload app ya telegram sasa huko nimekutana na links wanazoshea ni za magroup na sikujua ni ya nini
Japo mengine wanasema ni ya movies nk ila baada ya kujiunga nilichokutana nacho ni balaa
Hapa nawaza sijui app yenyewe niifute duh ni zaidi ya hatari
Ndo maana yake hajui tu.Telegram ni msitu mnene sawa na Twetter inategemea umeingia chaka gani.
HayafutikiSi uyafute?
Sio kweli.Hayafutiki
Alles klaralles gut na Deutsch mkuu
Labda kweli mimi mjinga.....ila kama mambo haya yanayoendelea wewe binafsi hayakushangazi,acha niendelee kuwa mjinga tu🤝🤝🤝Dah!!
It's official wewe ni mjinga.....
Nini kipya kwenye social app mpka ushangazwe sana,
Acha kujaza server kwa thread zisizokua na mantiki kama hii
Nikutumie link??😁😁😁Acha uchafuzi
TumaNikutumie link??
Hapana mkuu nikihitaji nta search tu🤣Nikutumie link??😁😁😁
Acha uoga wewe check PmHapana mkuu nikihitaji nta search tu🤣
🤣🤣🤣Acha uoga wewe check Pm
Wauza mbunyeTelegram yamejaa magroup ya wauza nyapu tu kule
Ni hivi nimedownload app ya telegram sasa huko nimekutana na links wanazoshea ni za magroup na sikujua ni ya nini
Japo mengine wanasema ni ya movies nk ila baada ya kujiunga nilichokutana nacho ni balaa
Hapa nawaza sijui app yenyewe niifute duh ni zaidi ya hatari