UmetishaaaaHabari wanajamvi?
Kwa wale wanaojua kuumiza mioyo ya wenzi wao yaani wanaokua na pulling ya kua na wenzi zaidi ya mmoja na ukataka usishikwe ugoni hasa mamesehi au calls...
Telegram ni booonge moja la app litakalokufanya utunze heshime yako maana ina siri sana kuliko whatsapp na zinginezo..
Kwangu inakataa inasema Kant open this until you close one. Msaada plzKupita pita nimekuta hizi channel za telegram..
Telegram Channels Catalog: explore full collection of Telegram channels available
anachomaanisha ni, mi niliibiwa cm na nikapata cm nyingne, nikanstall upya telegram... vitu vyng vyote vya telegram vikarud... na sikua na backup yoyote... ni issue ya kudwnload tena tuu....fanya hvyo kwa whatsappunaongelea nadharia au maandiko yao tu.kama wewe ni mtumiaji wa telegram unajua kuwa huo ni uongo wa mchana.kama unatumia android fanya hivi -nenda file managera>mobile storage>telegram>telegram images/audio/video/documents yamejaa katika simu. walichofanya ni kubadilisha tu mfumo.
Hahahaha mkuu naona mahaba yamekuzidi kwenye telegram..... umesahau WhatsApp pia ina back up restore itarudisha kila kitu hata utumie simu nyingine ukiwa unafanya installation kuna phase itakutaka ufanye back up restore....anachomaanisha ni, mi niliibiwa cm na nikapata cm nyingne, nikanstall upya telegram... vitu vyng vyote vya telegram vikarud... na sikua na backup yoyote... ni issue ya kudwnload tena tuu....fanya hvyo kwa whatsapp
Acha kuandika kipumbavu "x" badala ya "s".Xx ukishakuwa na telgram hzo channels unazpataje?
Ipi hiyo ndugutelegram ni bora zaidi...kuna telegram channel bako kuna movie na series mbalimbali unapata