uwiiiiiiii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 341
- 365
Habari wakuu! Jamani naombeni kuuliza telbox Tanzania ni ya kweli nimetuma pesa toka asubuhi hadi muda huu sioni code wala msg kutoka kwa hawa watu, naomba msaada km kuna mtu aliwahi kuitumia plz.
Yaani,kujibebesha stress kufatilia mtu tu stress tosha. Kukutana na anayoyafanya presha zaidiHesabu maumivu. Yaan maisha yenyewe ni stress tosha unataka ufuatilie mawasiliano ya mtu nae akuongezew stress?
Hakuna cha code hapo ushaliwa
Upo mkoani gani mwenzetu unaibiwa kijinga hivi?!
Yani huyo mwanaume kakuchanganya mpk unataka kufuatilia simu halaf ukishajua ana michepuko itasaidia nn?!
Aisee pole sana kwa kuliwa hela zako
pole sana,mitandao ya bongo ni ya wizi
Nimejifunzapole sana,mitandao ya bongo ni ya wizi