Sio kukosa uzalendo, ni magumashi maana havielewekiMi app zinazotengenezwa Tz hususani za dizain hii,hua siziamini ht kidogo..sijui ndo kukosa uzalendo huku?
Kipigo hicho
naambiwa niongeze pesa
Km ipi mkuumbona kuna app za bure unaona hadi inbox
Zipi Hzombona kuna app za bure unaona hadi inbox
Kama ipi?mbona kuna app za bure unaona hadi inbox
Kama nayotumia mimimbona kuna app za bure unaona hadi inbox
Tayariiiiii
Habari wakuu! Jamani naombeni kuuliza telbox Tanzania ni ya kweli nimetuma pesa toka asubuhi hadi muda huu sioni code wala msg kutoka kwa hawa watu, naomba msaada km kuna mtu aliwahi kuitumia plz.
Ni ya kweli magumashi?Kama nayotumia mimi