***** Mbwembwe zote zinakataa linaanza kupiga alarm.Wamlete bongo kuna wajuba wanakula pweza,zaituni, alkasusu hawaachi kuweka vumbi la kongo na kula mkuyati. Huyo roboti hakija Kwa wajuba lazima network ikate au system error ziwe kibao.
Utu uzima huo bado unawaza ujinga kiasi hicho,.Nimeisha puyanga huko 30 kitambo.. naitafuta 40.. mtoto makali unamywa mate yenye wine 😀😀😀😀 mgongo soft.. room lina mvuke amazing na ka marafishi flani hivi.. ngoja nianze safari nikasake pesa mie 😀😀😀
Dah! 🥲🥲🥲... nimechelewa nini mzee mamaUtu uzima huo bado unawaza ujinga kiasi hicho,.
Stuka mzee baba it's too late
Achana na hizo mambo
Ndo kinachoendelea nchi za magharibi leo hii,Dunia inakwenda kasi mno, kufikia 2050 watu watapunguza kabisa kuoana na kuzaliana labda.
Kwa umri huo unatakiwa uwe na wife na mtoto mmoja tu maisha yaendelee.Dah! 🥲🥲🥲... nimechelewa nini mzee mama
Wife eeh! Nikisha touch 40 ndio nitavuta na wife sasa... asahivi acha nitafute pesa na yaliyo muhimu katika ndoto zangu ili zikamilike. Sijawahi kukimbilia vitu kwasababu wengine wanafanya, maana hakuna umri maalumu wa kuoa au kuzaa bali huwa ni mipango na uamuzi wa wahusika. Pisi kali nazila maana mie ni mwandamu na kuna kipindi nakuwa na kiu..Kwa umri huo unatakiwa uwe na wife na mtoto mmoja tu maisha yaendelee.
Hawa watoto wakali sijui pisi hawaishi broo
Unaweza tafuta pesa Sahiv na usizipate kama unavyotaka ila ukaoa mambo yakakaa sawa tu.Wife eeh! Nikisha touch 40 ndio nitavuta na wife sasa... asahivi acha nitafute pesa na yaliyo muhimu katika ndoto zangu ili zikamilike. Sijawahi kukimbilia vitu kwasababu wengine wanafanya, maana hakuna umri maalumu wa kuoa au kuzaa bali huwa ni mipango na uamuzi wa wahusika. Pisi kali nazila maana mie ni mwandamu na kuna kipindi nakuwa na kiu..
Umeongea ukweli kabisa. Mapisi mengine nuksi, kuna moja nilipiga nimepitiwa na usingizi nikaona kama nimelala na lidudu flani hivi, alafu badae nikaoneshwa hati ya mashtaka na hukumu. Nikajua tayari nimelala na kimeo walahi.. mambo yaliyumba kishenzi .. ila ndio ivyo bwana. Nikifisha 40 nitao tu, sio kwamba sio kwasababu sina hela ya kutunza mke na mtoto hapana, sioi kwasababu sikuwa na plan ya kuoa tangu nikiwa mdogo kabla ya kufikisha 40. Umeongea kitu kizito sana. Ngoja sasa hivi nibaki na pisi moja tu, tuleane.Unaweza tafuta pesa Sahiv na usizipate kama unavyotaka ila ukaoa mambo yakakaa sawa tu.
Hii kuruka ruka na. Mapisi makali wengine wana nuksi sana na mikosi, so kuwa makini
Kuna pisi nakutumia pm ipo mamtoni kama utafika bei freshUmeongea ukweli kabisa. Mapisi mengine nuksi, kuna moja nilipiga nimepitiwa na usingizi nikaona kama nimelala na lidudu flani hivi, alafu badae nikaoneshwa hati ya mashtaka na hukumu. Nikajua tayari nimelala na kimeo walahi.. mambo yaliyumba kishenzi .. ila ndio ivyo bwana. Nikifisha 40 nitao tu, sio kwamba sio kwasababu sina hela ya kutunza mke na mtoto hapana, sioi kwasababu sikuwa na plan ya kuoa tangu nikiwa mdogo kabla ya kufikisha 40. Umeongea kitu kizito sana. Ngoja sasa hivi nibaki na pisi moja tu, tuleane.
😃😃😃😃 long distance gharama kubwa. Nilikuwa naimudu zamani kumtoa manzi popote. Ila sasa hivi uchumi wa kati sio wa kuchezea pesa.. huwezi jua kesho litakukuta janga gani. Sasa hivi pesa unayopata mtu unaitunza kama kesho hutopata pesa ingineKuna pisi nakutumia pm ipo mamtoni kama utafika bei fresh
Aisee kweli kabisa huu uchumi wa kati nami umenigusa kabisa aisee, chezea Hapana chezea😃😃😃😃 long distance gharama kubwa. Nilikuwa naimudu zamani kumtoa manzi popote. Ila sasa hivi uchumi wa kati sio wa kuchezea pesa.. huwezi jua kesho litakukuta janga gani. Sasa hivi pesa unayopata mtu unaitunza kama kesho hutopata pesa ingine
Inshort sasa hivi serikali imetushikisha adabu. Uzuri kinacho saidia tuliishi na watu vyema wanatupa nguvu sasa hivi. Bila hivyo tungekuwa tumehama mji😀😀Kuna pisi nakutumia pm ipo mamtoni kama utafika bei fresh
Hatujui mwakani, ila mwisho wa mwaka huu umekuwa ni mgumu kwangu tangu mitano iliyopita. Sijawai pitia ugumu wa kifedha kama hii miezi miwili ya mwisho.. plus TRA wakaja malizia kabisa.. 🥲🥲. Naishi kwasababu ya network niliyo jenga.. sasa hiyo pisi ya mamtoni sito iweza. But mwezi wa nne paka wa sita nitakucheki sasa.. najua nitakuwa nime recover 🥸Aisee kweli kabisa huu uchumi wa kati nami umenigusa kabisa aisee, chezea Hapana chezea
Bado una nafasi ya kutafuta maisha nje ya Tanzania, kwanini unakuwa muogaInshort sasa hivi serikali imetushikisha adabu. Uzuri kinacho saidia tuliishi na watu vyema wanatupa nguvu sasa hivi. Bila hivyo tungekuwa tumehama mji😀😀
Huko wanapochomana vaccine ? Licha ya kufanya upuuzi . Bado naamini sana katika maadili ya ki africa japo kadri siku ziendavyo yanapotea. Ulaya na maisha yao hapana kuna ujinga mwingi sipendi kuuona machoni pangu ambao huko ulaya ni haki za watu. Sija ogopa kuisha nje ya Tanzania. Ila Tanzania kuna fursa nyingi sana na utajiri wa kuokota. Ni swala la mfuno sasa hivi ndio umetutoa kwenye reli.. ilq soon tunarudi..Bado una nafasi ya kutafuta maisha nje ya Tanzania, kwanini unakuwa muoga