Kuna teknolojia ipo kitambo ya kuendesha magari na hats mitambo mingine kwa kutumia maji ambapo kifaa hufungwa kuunganisha tenki dogo la maji na injini ya gari.
Kifaa hiki hutenganisha elements mbili zinazotengeneza maji yaani Hydrogen na Oxygen (H2O) na kutumia Hydrogen ambayo ni gesi inayowaka (combustible) na kuipeleka kwenye combustion chambers za injini. Kwanini teknolojia hii haitumiki hapa Tanzania?
Ni teknolojia yenye gharama nafuu na rafiki kwa mazingira na kwa ukanda wa Ozone unaotukinga na mionzi hatari kutoka anga za juu.
Kifaa hiki hutenganisha elements mbili zinazotengeneza maji yaani Hydrogen na Oxygen (H2O) na kutumia Hydrogen ambayo ni gesi inayowaka (combustible) na kuipeleka kwenye combustion chambers za injini. Kwanini teknolojia hii haitumiki hapa Tanzania?
Ni teknolojia yenye gharama nafuu na rafiki kwa mazingira na kwa ukanda wa Ozone unaotukinga na mionzi hatari kutoka anga za juu.