Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Usishangae kukutana na mwanafunzi wa elimu ya juu anaeandika na ukashindwa kusoma muandiko wake. Vijana wanafanya kazi za shule kwa kutumia computer, wanatumiana ujumbe kwa simu. Hii imefanya sanaa ya uandishi wa mkono kupotea.
Vitabu siku hizi wanasoma kwenye kindle. Niliongea na binti mmoja na kumfahamisha kuwa mpaka sasa huwa nina print journal articles, alinicheka na kuniambia si rafiki wa mazingira. Zaidi ya social media kusoma vitabu na journals za umeme nimeshindwa.
Walimu wafikirie njia ya kutoa tunzo la miandiko bora ili kutunza sanaa hii muhimu iliyohitajika kwa vizazi vijavyo.
Kiti chenye kabati la vitabu, matumizi ya viti vya aina hii si muhimu kwa vijana wa leo
Vitabu siku hizi wanasoma kwenye kindle. Niliongea na binti mmoja na kumfahamisha kuwa mpaka sasa huwa nina print journal articles, alinicheka na kuniambia si rafiki wa mazingira. Zaidi ya social media kusoma vitabu na journals za umeme nimeshindwa.
Walimu wafikirie njia ya kutoa tunzo la miandiko bora ili kutunza sanaa hii muhimu iliyohitajika kwa vizazi vijavyo.
Kiti chenye kabati la vitabu, matumizi ya viti vya aina hii si muhimu kwa vijana wa leo