Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Leo katika pilikapilika zangu za kutaka kuwahi kazini nilikuwa na akili moja tu kichwani, "kununua na kusoma MwanaHalisi".
Nikashuka kituo cha daladala. Kituo cha kwanza kwa muuza magazeti.
"Naomba MwanaHalisi". Akanijibu, "sina". Nikakasirika. Nikaenda kijiwe kingine cha kuuza magazeti: "Naomba MwanaHalisi". Jibu: "Sina".
Akili ikanijia: "Hivi leo siku gani?".
Nikacheki Casio yangu orijino: Tuesday.
Aaaaaaaaaaaaaaah!!!!
Kimyakimya nikachukua Mwananchi nikatambaa.
Ila nikagundua kitu kimoja: Wauza magazeti wa bongo ni vilaza kiaina. Kati ya wawili niliowauliza hakuna hata mmoja aliyenijibu kuwa leo siyo Jumatano.
Come Wednesday.
Nikashuka kituo cha daladala. Kituo cha kwanza kwa muuza magazeti.
"Naomba MwanaHalisi". Akanijibu, "sina". Nikakasirika. Nikaenda kijiwe kingine cha kuuza magazeti: "Naomba MwanaHalisi". Jibu: "Sina".
Akili ikanijia: "Hivi leo siku gani?".
Nikacheki Casio yangu orijino: Tuesday.
Aaaaaaaaaaaaaaah!!!!
Kimyakimya nikachukua Mwananchi nikatambaa.
Ila nikagundua kitu kimoja: Wauza magazeti wa bongo ni vilaza kiaina. Kati ya wawili niliowauliza hakuna hata mmoja aliyenijibu kuwa leo siyo Jumatano.
Come Wednesday.