elly56
Member
- Apr 20, 2012
- 41
- 7
Majina mengine banah sio ya
kuwapa wanyama!
Mzee kaenda kwa mtoto
wake kuwa salimia wajukuu
zake kafika akaenda kuoga
mara anasikia mtoto anaita.
mtoto:"thomas ,thomas,
thomas"
mzee: naaam! Mjukuu
wangu!
Mtoto:hapana sio wewe babu
namuita paka wetu!
Mzee:mh!
Baada ya muda babu
akataka atoke kwenda
kuona mazingira nje! Mara
mbwa akatokea
Mtoto:bryton bryton bryton
usimng'ate babuu!
Mzee hoi akarudi ndani
akachukua virago vyake
akasepa,..kumbe
babu
anaitwa "THOMAS BRYTON"
teh! teh! teh!
kuwapa wanyama!
Mzee kaenda kwa mtoto
wake kuwa salimia wajukuu
zake kafika akaenda kuoga
mara anasikia mtoto anaita.
mtoto:"thomas ,thomas,
thomas"
mzee: naaam! Mjukuu
wangu!
Mtoto:hapana sio wewe babu
namuita paka wetu!
Mzee:mh!
Baada ya muda babu
akataka atoke kwenda
kuona mazingira nje! Mara
mbwa akatokea
Mtoto:bryton bryton bryton
usimng'ate babuu!
Mzee hoi akarudi ndani
akachukua virago vyake
akasepa,..kumbe
babu
anaitwa "THOMAS BRYTON"
teh! teh! teh!