johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,898
- 141,835
Tangu saa 6 mchana na ratiba haijaonyesha kama leo ni siku ya mgao.
Je, kuna tatizo gani?
Maendeleo hayana vyama!
Je, kuna tatizo gani?
Maendeleo hayana vyama!
Vumilia tu.Tangu saa 6 mchana na ratiba haijaonyesha kama leo ni siku ya mgao.
Je, kuna tatizo gani?
Maendeleo hayana vyama!
Mtanikumbuka kwa mazuri siyo mabaya!Vumilia tu.
Umejaribu kumcheki mzee Mgaya hapo Goba?Tangu saa 6 mchana na ratiba haijaonyesha kama leo ni siku ya mgao.
Je, kuna tatizo gani?
Maendeleo hayana vyama!
Mzee Mgaya yuko mapumzikoni Kalenga bwashee!Umejaribu kumcheki mzee Mgaya hapo Goba?
Wapumbavu walisahau maisha 2005 hadi 2015.Tuliwaambia mtamkumbuka mkawa mnabisha
Haya sherehekeeni Uhuru wa kujieleza, uhuru wa kuchanjwa, uhuru wa kuvaa barakoa, uhuru wa kuagiz vifaranga kenya n.k
Wapumbavu walisahau maisha 2005 hadi 2015.
Bwashee maendeleo hayana vyama!Nikajua mccm hayapati mgao wa umeme.
Pole bwashee.