Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 4,986
- 8,318
Je kama alikuwa amedhamiria kumuamsha tualafu atasema hakudhamiria ni bahati mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je kama alikuwa amedhamiria kumuamsha tualafu atasema hakudhamiria ni bahati mbaya
Hawezi, labda agundue kuwa bado tunaendelea na mahusiano!Mke utakayempata baada yangu atakubonda bichwa
Jibu ndo hilo bestmi nilikuulizaga swali hili mbona hukunijibu?
AtagunduaHawezi, labda agundue kuwa bado tunaendelea na mahusiano!
Kwel kabisaaaSijawahi mtu kajinyonga kisa kafiwa na wazazi wake.
Kweli mapenzi yanarun dunia
Inaweza kuwa bahati yangu natafuta mke.Bado, natafuta mume
Hao vichaa wa mapenzi mnawapataga wapiNi mwendo wa ku equalize.....
Mm naona hii iendelee mpk akili ziwakae sawa walevi wa mapenzi.......
Mm nilipapaswa na sumu nishukuru paka alitangulia kula akafaa....
Baada ya hapo nilipapaswa shoka ya utosi...
Ilishusha kitanda chote ikakwama kwenye sement.....
Break ya kwanza kwenye kaburi la babu kutambika mizimuu
Sent from my Iphone 11 Max pro, nimeinunua jana pale karume karibu na duka la mapajama..
Sasa mimi nakutakaJibu ndo hilo best
Hahahahahha we jamaa noma, duhNi mwendo wa ku equalize.....
Mm naona hii iendelee mpk akili ziwakae sawa walevi wa mapenzi.......
Mm nilipapaswa na sumu nishukuru paka alitangulia kula akafaa....
Baada ya hapo nilipapaswa shoka ya utosi...
Ilishusha kitanda chote ikakwama kwenye sement.....
Break ya kwanza kwenye kaburi la babu kutambika mizimuu
Sent from my Iphone 11 Max pro, nimeinunua jana pale karume karibu na duka la mapajama..
Salaam wakuu!
Kuna kila dalili vifo vinavyotokana na mapenzi kuzidi kuongezeka.
Kwa masikitiko makubwa jana tumemuaga jamaa yetu aliyeshambuliwa na mke wake na kupelekea kufariki.
Kwa mashuhuda waliowahi kufika eneo la tukio ni kwamba huyu kijana aliyezaliwa 1991 alikuwa akiishi maeneo ya Tegeta kwa Ndevu na mwanamke waliyebahatika kupata watoto wawili lakini inasemekana mtoto wa pili hakuwa wa huyo mwanaume kwamba mwanamke alimsaliti akiwa Chuo cha ualimu.
Jamaa akihangaika kusaidia kulipa ada na mwanamke kuamua kumbambikia mumewe mimba na baada ya mtoto kuanza kukua ndipo tetesi za kutokuwa mwanaye zilipoanza na kupelekea mzozo kati yao na baadae familia za pande mbili kuingilia kati na kuwaweka sawa na maisha yakaendelea.
Kwa maelezo ya wapangaji wenzao ni kwamba Jumamosi jioni kulitokea kupishana kauli kati ya mme na mke
Usiku mke alimvizia mme akiwa amelala na kumpiga na kitu kizito kichwani na kupoteza maisha baada ya hapo mwanamke alipiga kelele kuomba msaada kwamba amempiga mme wake lakini hakujua kama atakufa.
Baada ya taratibu za kipolisi tulimuaga marehemu Jana kwao maeneo ya Tegeta kwa Ndevu ambapo mimi pia nilihidhurua kwakuwa baadhi ya ndugu wa mwanaume tunafahamiana.
Inasikitisha kuona mapenzi sasa yanaendelea kuondoa uhai wa watu, mpaka sasa mwanamke anashikiliwa na vyombo vya dola wakati mazishi yanatarajiwa kufanyika huko Kasulu.
Bahati yangu usiingilie nataka kumsomeshami nilikuulizaga swali hili mbona hukunijibu?
Pm umeifungaBado, natafuta mume
Kuzaa nje wakati una mke wa ndoa ni zinaa tu! na kumuumiza mke wako!Ni kweli tunazaa nje ya ndoa kwa wanawake huru, na tunawalea huko huko. Tukitaka kuwaleta hao watoto ndani tunashauriana mpaka mke akubali. Sasa ninyi mnataka kuwaleta ndani kwa nguvu tena katika mfumo wa sandwich!
Kuzaa nje hakutaisha kwani mitaani wanawake wanazidi kuwa warembo na wako single!Kuzaa nje wakati una mke wa ndoa ni zinaa tu! na kumuumiza mke wako!
Wanawake wanavumilia mengi sana ila naona sasa kuna dalili za kuchoka kunyanyasika kisa analinda ndoa!