BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
...Na itasaidia watu kuchukua tahadhari zaidiILA siku hizi maradhi mengi Yanaua ghafla tusihukumu.
Hata ukimwi,presha,UGONJWA wa moyo navyo vinaua ghafla.
Kikubwa madaktari na ndugu waruhusiwe kusema ukweli kwamba marehemu kafa na Corona au la.hyo itasaidia kutoa maneno maneno.