TANZIA Teddy Mapunda Afariki Dunia hospitali ya Aga Khan Dar

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,746
11,877
E0D38D83-E5F6-4B0D-AD87-CC1648DB94D7.jpeg

Mkurugenzi Mtendaji wa Montage, Teddy Mapunda amefariki muda mfupi uliyopita baada ya kuugua ghafla wakati akipata futari na wenzake hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam na kukimbizwa hospitali ya Aga Khan.

Machi, 2012, alichaguliwa kuwa mmoja ya wajumbe watano waliounda Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Utalii (TTB) akiwa
Mtaalamu wa Masoko (Marketing) na Afisa Uhusiano Serengeti Breweries Limited;

Teddy amewahi kuwa Katibu Mkuu wa kamati iliyoundwa na TFF ya kusaidia Taifa Star Ishinde mwaka 2015 katika Maandalizi ya michezo ya kufuzu Kombe la Dunia

IMG-20210505-WA0000.jpg

Teddy Mapunda is a Non-Executive Director at British American Tobacco Kenya Ltd since October 2014 and a Member of the Remunerations Committee.Teddy is the founder of Montage Limited, a multi-dimensional consultancy and creative agency based in Dar-es-Salaam, Tanzania. She has over twenty years of leadership experience in public relations, customer service, administration, and sales.

Teddy Mapunda is a graduate of the Swedish Institute of Public Administration and the Ghana Institute of Management and Public Administration.

She is Vice Chairperson for the Road Safety Committee Kinondoni Region, Tanzania, Board Member of Why Africa Now of the USA, TPS Eastern Africa (Serena Hotels), WAMA Foundation and the Arusha International Conference Centre (AICC).
 
RIP Teddy Mapunda amefanya makubwa ktk sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii.
June 2020 Annual Report TPS EASTERN AFRICA PLC www.serenahotels.com Mrs. Mapunda non-executive director - a graduate of Strategic Business Management from SIPU (Swedish Institute of Public Administration) in Sweden...

Kutoka maktaba :

3 Juni 2017


Meneja Uhusiano wa Sport Pesa, Teddy Mapunda, aliwaelekeza waandishi wa habari mambo muhimu kuhusu Michuano ya soka ya Sport Pesa Super Cup, inatarajiwa kuanza Jumatatu ya June 5, 2017 kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam ambapo timu kutoka Tanzania na Kenya zitashiriki.

 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom