toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Tecno Spark 4 air yangu inapata moto sana na kuishiwa na chaji hovyo
Hii simu inapata moto kila saa utashangaa inakwambia eti battery ipo na high temperature so remove battery na pia uchomoe chaja
Pia haikai na chaji vizuri mfano nilichaji ikajaa asilimia 100 saa moja jioni inafika saa 5 usiku kitu ipo asilimia 14 tu nashindwa kuelewa kwanini
Na ni mpya ina miezi 3 tu nilishauriwa niweke battery nyingine labda itakua sawa maana battery yake ni mah 3000 nikanunua ya itel mpya yenye mah 3500 maana watu wanasifu itel kwamba zinakaa na chaj nikaweka kitu kikawa ni kile kile tu siku hiyo hiyo nikaitoa nikarudisha battery yake ya mwanzo ni full majanga
Hii simu inapata moto kila saa utashangaa inakwambia eti battery ipo na high temperature so remove battery na pia uchomoe chaja
Pia haikai na chaji vizuri mfano nilichaji ikajaa asilimia 100 saa moja jioni inafika saa 5 usiku kitu ipo asilimia 14 tu nashindwa kuelewa kwanini
Na ni mpya ina miezi 3 tu nilishauriwa niweke battery nyingine labda itakua sawa maana battery yake ni mah 3000 nikanunua ya itel mpya yenye mah 3500 maana watu wanasifu itel kwamba zinakaa na chaj nikaweka kitu kikawa ni kile kile tu siku hiyo hiyo nikaitoa nikarudisha battery yake ya mwanzo ni full majanga