Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tecno p5 ni 200,000 hivi...hautajutia..
Heshima zenu wakuu. Naomba kufahamishwa na wataalamu wenye kufahamu ubora wa Tecno smartphones. Ni ipi nzuri kwa maana ya specifications na durability isiyozidi 250,000 tshs. Nawasilisha Wakuu.
Naweza ipata duka gani hapa mjini Dar Es Salaam mzee
Hakunaga kama M3 sijutii kuwa mteja wa tecno. Udumu urafiki wa Tanzania na China.... Ila tembo mtuachie aiseehzo simu hakunaga aisee kwa simu za bei ndogo zenye karibia kila kitu,usisite nenda dukani kapate mzigo wako then ukishaanza kuitumia njoo utoe ushuhuda hapa,mm ninayo p3 sijutii aisee,nainjoi nayo sana,ninayo kama mwezi wa 8 hv sasa na haijawahi kunizingua
Hakunaga kama M3 sijutii kuwa mteja wa tecno. Udumu urafiki wa Tanzania na China.... Ila tembo mtuachie aisee
Ndo hivyo mkuu. Huku tunafurahia huduma zao ila wenyewe wana mambo ya ki mbwa sana. Tembo wamapungua sababu ya hawa watuHahahahahaaaaaaaaa,halafu wabongo tulivyokuwa mambwiga tukiwakamata tunawachekea tunawarudisha kwao kipoa wakati wao wakiwakamata wabeba boksi wetu nyoka wa kina kinje na rizmoko kama jackline cliff na nguli agness masogange wanawatia ndani kwenye jela zao na adhabu za kunyongwa zitawahusu sana