Tecno Mobile ndani ya GSM Arena

Yah najua wanaiga simu nyengine ambazo ni brand maarufu ila ninachozungumzia ni kwamba hakuna haja ya kununua simu yenye specifications nyingi wakati hauzitumii, ndo mana nashauri watu wanunue simu za bei rahisi kulingana na matumizi yao jinsi yalivyo rahisi

Ukisema hivi hata hao wanazi wa tecno wanaingia kwenye mkumbo huo huo tena.

Maana tofauti ya samsung na tecno au iphone ni quality tu,sio quantity.

Leo hii ukichukua simu ya samsung yenye ram 1 gb itakuwa ni simu ya miaka hata 5 nyuma,lakini itakuwa ni nzuri na bora zaidi ya tecno yenye gb moja ya mwaka huu.
 
Nimefukua kaburi;

Kwa kweli baada ya kuwatetea kwa muda mrefu nimegundua TECNO ni upuuzi kama upuuzi mwingine tu.

Hizi simu ni za kipumbavu kupata kutokea. Mara sijui… has stopped, mara ooh memory full. Useless kabisa.

Tena zipo brand nyingi sana za chinq zenye simu zilizo update kabisa , eventhough ni MTK,

Tecno kwaherini, no bora nitumie kina Elephone, Leagoo, Umidigi, Xiaomi, Vivo.

(Ila hii post ni sent using Tecno F3)
 
Nimefukua kaburi;

Kwa kweli baada ya kuwatetea kwa muda mrefu nimegundua TECNO ni upuuzi kama upuuzi mwingine tu.

Hizi simu ni za kipumbavu kupata kutokea. Mara sijui… has stopped, mara ooh memory full. Useless kabisa.

Tena zipo brand nyingi sana za chinq zenye simu zilizo update kabisa , eventhough ni MTK,

Tecno kwaherini, no bora nitumie kina Elephone, Leagoo, Umidigi, Xiaomi, Vivo.

(Ila hii post ni sent using Tecno F3)
kama wewe mtetezi namba moja umeamua hivi basi kazi kweli kweli
 
Simu za TECNO zinauzwa bei ghali sana kulinganisha na uwezo wake.
Ni kweli kabisa. Kwa bei za Tecno tunapigwa balaa. Yan mfano Tecno Pop 1 yenye ram 1gb; Internal 8gb; kioo TFT 480×960; Camera front and back:5mp Processor: mt6580 (28nm) , unakuja kuta 180-170k


Kiukweli Tecno wanafaidi sana pesa za waafrica.

Mfano brand nyingine
Eg: Leagoo ( 4gb ram; 32gb internal; Processor HElio A22; kioo: Ips HD+ technolgy, curved screen, Camera back 8mp+2mp / front: 5mp) bei 180k


Nasisitiza tecno ni upuuzi kama upuuzi mwingine tu.
 
kama wewe mtetezi namba moja umeamua hivi basi kazi kweli kweli
Hakuna namna ndugu yangu. Hawa jamaa nimewapa pesa mingi sana ila ni watu useless kabisa. Especially developers wao ndio mavi kabisa. Yan ni wapuuzi totally

mimi nina uzoefu nao sana ' cheki list ya simu zao nimenunua

T20
T30
P5
S5
P9
Y3+
W3 LTE
WX3 LTE
F3 Pop1

Tecno mnatupiga sana waafrika
 
Ni kweli kabisa. Kwa bei za Tecno tunapigwa balaa. Yan mfano Tecno Pop 1 yenye ram 1gb; Internal 8gb; kioo TFT 480×960; Camera front and back:5mp Processor: mt6580 (28nm) , unakuja kuta 180-170k
Kiukweli Tecno wanafaidi sana pesa za waafrica.
Mfano brand nyingine
Eg: Leagoo ( 4gb ram; 32gb internal; Processor HElio A22; kioo: Ips HD+ technolgy, curved screen, Camera back 8mp+2mp / front: 5mp) bei 180k
Nasisitiza tecno ni upuuzi kama upuuzi mwingine tu.
Hawa jamaa wanatupiga sana aisee, ni vile tu wamefanikiwa kujitangaza na wamekuwa maarufu. Karibia kila mtanzania anayefikiria kumiliki smartphone anawaza TECNO
 
Legend wa Tecno pole sana ndugu yangu
Hakuna namna ndugu yangu. Hawa jamaa nimewapa pesa mingi sana ila ni watu useless kabisa. Especially developers wao ndio mavi kabisa. Yan ni wapuuzi totally

mimi nina uzoefu nao sana ' cheki list ya siku zao nimenunua

T20
T30
P5
S5
P9
Y3+
W3 LTE
WX3 LTE
F3 Pop1

Tecno mnatupiga sana waafrika
 
Ni sahihi kabisa.

Ukimchukua mtanzania wa kawaida ukamuwekea Xiaomi Redmi 7 na Tecno C11 lazima ataenda tecno tu.

Kwenye branding wamefanikiwa sana ila kwenye ubora ni upuuzi
Hawa jamaa wanatupiga sana aisee, ni vile tu wamefanikiwa kujitangaza na wamekuwa maarufu. Karibia kila mtanzania anayefikiria kumiliki smartphone anawaza TECNO
 
Hakuna namna ndugu yangu. Hawa jamaa nimewapa pesa mingi sana ila ni watu useless kabisa. Especially developers wao ndio mavi kabisa. Yan ni wapuuzi totally

mimi nina uzoefu nao sana ' cheki list ya simu zao nimenunua

T20
T30
P5
S5
P9
Y3+
W3 LTE
WX3 LTE
F3 Pop1

Tecno mnatupiga sana waafrika
😂 😂😂😂
kweli wamekula sana hela zako ndugu
 
Hakuna namna ndugu yangu. Hawa jamaa nimewapa pesa mingi sana ila ni watu useless kabisa. Especially developers wao ndio mavi kabisa. Yan ni wapuuzi totally

mimi nina uzoefu nao sana ' cheki list ya simu zao nimenunua

T20
T30
P5
S5
P9
Y3+
W3 LTE
WX3 LTE
F3 Pop1

Tecno mnatupiga sana waafrika
Mkuu nikitaka niblock Namba kwenye tecno nafanyaje?
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom